TYC inahitaji vijana 60 wa kujitolea watakaoshiriki katika utafiti wa kupima uwezo wa Watoto kujifunza utakaofanyika katika wilaya ya ilala.
Vigezo
- Awe amehitimu kidato cha nne na kupata angalau daraja la III, nakufaulu masomo ya kiingereza na hisabati/ Awe yuko chuo au amehitimu.
- Awe anaweza kuzungumza kwa ufasaha lugha ya kiigereza na Kiswahili.
- Awe ana simu ya kiganjani. Kama anasmart phone ni bora Zaidi.
- Awe anaweza kuwasiliana kwa simu ya kiganjani.
- Awe ni jasiri na mwenye uwezo wa kutembea umbali mrefu, kwa mguu.
- Awe ni muadilifu.
Tuma barua ya maombi na CV kupitia tanzaniayouthcoalition1@gmail.com
Mwisho wakutuma maombi ni Tarehe: 02/11/2018
Wanawake wanasisitizwa kutuma maombi yao